Matukio mbalimbali ya ufadhili
|
|||
|
Katika ukurasa huu utaweza kuona baadhi ya picha zilizo chukuliwa siku ambayo mfadhili wa mtoto Mwanaidi Mwalimu Athumani (TZ-216-0054) alipo tembelewa na mfadhili wake FRAU INGE KUHLMANN (DE-10373) ambae alikuja na mumewe tarehe 24/06/2010 |
|
|
![]() |
![]() |
![]() |
|
Mfadhili wa mtoto Mwanaidi wakionyeshana zawadi tarehe 24/06/2010 |
Mfadhili nakiwa ndani ya darasa ambalo mtoto Mwanaidi anasoma. |
Mfadhili katika picha ya pamoja.Kulia ni mkurugenzi wa kituo sambamaba na Mchungaji Kiongozi. Kushoto ni Muhasibu |
Mfadhili Inge Kuhlmann akipewa zawadi na mzazi wa mtoto Mwanaidi Athumani. |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Mfadhili wa mtoto Mwanaidi akiwa na Mumewe katika picha ya pamoja baada ya kupewa zawadi zao wote wawili. |
Picha ya pamoja nje ya majengo ya shule ya msingi Nkuhungu shule anayo soma Mwanaidi |
Mfadhili akipata mtoto Mwanaidi zawadi nyumbani kwao Chinangali west Dodoma |
Mfadhili akiwa na mtoto darasa analo soma mtoto Mwanaidi Athumani |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Mfadhili akikabidhi zawadi ya Chakula kwa mama wa mtoto Mwanaidi kwaajilia ya familia |
Mfadhili wa mtoto akiwa chumbani kwa mtoto Mwanidi. |
Kikundi cha kaka wa mtoto Mwanidi kikitumbuiza mbele ya Mfadhili Kituoni. |
Kaka wa Mwanaidi anaitwa Selemani akipokea zawadi aliyo pewa na mfadhili. |