Matukio mbalimbali ya ufadhili
|
Katika ukurasa huu utaweza kuona baadhi ya picha zilizo chukuliwa siku ambayo mfadhili wa mtoto Mwanaidi Mwalimu Athumani (TZ-216-0054) alipo tembelewa na mfadhili wake FRAU INGE KUHLMANN (DE-10373) ambae alikuja na mumewe tarehe 24/06/2010 |
|
|
![]() |
![]() |
![]() |
|
Mfadhili wa mtoto Mwanaidi walipo kutana kwa mara ya kwanza tarehe 24/06/2010 |
Mfadhili na mumewe wakiwa katika ofisi ya Mchungaji Kiongozi na mtoto mwa |
Mfadhili akisaini kitabu cha wageni kwa Mchungaji. Kushoto ni Mchungaji Vick |
Mfadhili Inge Kuhlmann akisalimiana na shangazi wa mtoto Mwanaidi |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Kaka yake mtoto Mwanaidi akiwa na kikundi chake cha ngoma wakitumbuiza |
Mume wa mfadhili akichuku chai katika ofisi ya Huduma ya mtoto |
Mfadhili akipata Break Fast katika ofisi ya Huduma ya mtoto pamoja na mtoto Mwanaidi |
Kikundi cha ngoma cha kaka yake Mwanaidi wakiruka sarakasi pamoja na ngongoti |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Nyumbani kwa mtoto |
Mtoto wa kwaya ya kituo akimpa zawadi ya batiki mfadhili |
Mtoto wa Kiume wa kwaya akimpa zawadi mume wa mfadhili |
Mfadhili katika picha ya pamoja na watoto wa kwaya ya kituo TGC |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Mfadhili akikata Cake ya upendo na mtoto |
Mfadhili akilichana Cake na mtoto Mwanaidi |
Mume wa mfadhili akilishana Cake na mtoto |
Mfadhili akifungua zawadi aliyo pewa na Kituo |
![]() |
|
|
![]() |
Mfadhili akionyesha Sugar Pot zawadi aliyo pewa na kituo |
Mfadhili akifurahia zawadi aliyopewa. |
Mchungaji Victoria Ntenga akikabidhi Tray kama zawadi kwa niaba ya Kanisa. |
Wakiwa katika nyuso za furaha ndivyo inavyo onekana hapa tarehe 24/06/2010 |