Sifa za kuwa kiongozi kwa watoto.
SIFA ZA KUGOMBEA UONGOZI KATIKA BUNGE LA WATOTO - TZ-216 ELCT NKUHUNGU STUDENT C. |
||
Viongozi wa 2007 | Viongozi wa 2008 | 1. Mtoto awe na miaka 10 na kuendelea. |
2. Mtoto awe darasa la 4 na kuendelea. | ||
3. Mtoto ajue kusoma na kuandika Kiswahili. Kwa upande wa mtoto kujua kusoma na kuandika kiingereza ni sifa ya ziada. | ||
4. Mtoto ashuhudiwe matendo mema na watoto wenzake wote Kituoni pamoja na jamii inayo mzunguka. | ||
5. Mtoto asiwe Mtoro Kituoni pamoja na Shuleni. | ||
6. Mtoto aliye okoka na kumkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yake. | ||
7. Mtoto awe na ujasiri wa kutosha ambao ataweza kusimama na kujieleza mbele ya umati wa watu wasio pungua mia. | ||